VIDEO: Polepole Afunguka Kuhusu Sakata Makenikia, Asema Vita Hairudi Nyuma

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Kupitia Katibu wake  wa Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole  kimeweka wazi kuwa hakitarudi nyuma kwenye vita ya Uchumi iliyoanzishwa na Rais John Magufuli.


Amewataka Watanzania  kumuonga Mkono Rais John Magufului Kwenye vita ya Uchumi aliyoiizisha ili Wananchi kunufaika na rasimali za nchi.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad