VIDEO: Rayvanny kafunguka kuhusu Zari kutompost mitandaoni

Moja ya issue kubwa inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii ni maneno yanayosambazwa mitandaoni kuhusu uhusiano wa mwimbaji Rayvanny na Zari ambaye ni mpenzi wa Boss wa WCB Diamond Platnumz ikidaiwa kuwa wawili hao hawana uhusiano mzuri ndio sababu Zari huwa hampost Rayvanny kwenye page zake za kijamii.

Tazama Hapa:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad