VIDEO: Walemavu Waliopigwa na Polisi Kwenye Maandamano Wadai Fidia

Kupitia kwa Mwenyekiti wa Chama cha Watu wenye ulemavu Jijini humo, Abdallah Komboza ameeleza kuwa kitendo walichofanyiwa na Jeshi la Polisi Juni 16 Jeshi la Polisi hakikuwa cha kiuungwana na sasa wanataka walipwe fidia kutokana vipigo na majeraha waliopata

Juni 16 Mwaka huu, Walemavu hao walijikuta Mikononi mwa Polisi katikati ya Jiji la Dar es salaam kwa kile kilichoelezwa kuwa walifanya Maandamano yasiyo halali

VIDEO:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad