Beyonce na Jay-Z wampa jina la kiislamu mtoto wao


Baada ya kujifungua mapacha wiki kadhaa zilizopita sasa,Beyonce na mume wake Jay-Z wabainisha majina ya wanao wawili .


 Mapacha wa magwiji wa sanaa ya Muziki kutoka Marekani wamepewa majina ya Rumi na Sir .


Rumi ni jina la mwanafalsafa wa kiislamu aliyeishi katika karne ya 13 ambaye hadi wa leo anakumbukwa kwa kazi yake ya mashairi na maneno yaliyopendekeza upendo ,furaha na uvumilivu .


Wasanii hao nyota wamesemekana kuwakilisha haki ya miliki kwa majina ya wanao kama Rumi Carter na Sir Carter ili kuhakikisha kwamba hamna mtu mwengine atakayefaidi kutokana na majina hayo .
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad