Diamond Platnumz Afunguka Kuhusu Mziki wa Tanzania Kukua

Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameweka wazi mawazo yake kuwa muziki wa Bongo Fleva na kiwanda kizima cha burudani nchini Tanzania kwa sasa kimekua ndiyo maana makampuni makubwa kutoka nje yanakuja kuwekeza .
 

Diamond amesema kwasasa muziki wetu umefikia sehemu nzuri ambapo wadau na Wasanii wananufaika kukua kwake na ndiyo maana Makampuni ya kigeni yanakuja kuwekeza nchini.

“Muziki wetu unazidi kukua kwa kwa sababu mpaka Watu wa nje wanakuja kufanya kitu nyumbani lazima tasnia yetu iwe imekua, kwa hiyo tasnia yetu imekua sio tu kwa Wasanii hata Industry nzima Vyombo vya Habari, Wadau kila mtu anayehusika na burudani, tumepiga hatua“,amesema Diamond Platnumz .
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad