JOB Ndugai, Kama Bunge Limekushinda si Ujiuzulu tu?

Bunge hili la sasa limejaa vituko, chuki na kufitiniana kwa kiwango ambacho hakijapata kutokea huko nyuma. Sasa imefikia wabunge wanaombeana mabaya na kufikia kutaka kuzichapa kavukavu.

Hii ni dalili mbaya kuwa uongozi umeshindwa kuliweka pamoja Bunge kwa manufaa ya wananchi. Na kitendo cha wabunge kumsusia futari spika ni salamu kuwa amekuwa adui yao.


Kama hali sio nzuri sii ujipumzishe ili kulinda heshima maana yanayofanyika bungeni hayajawahi kutokea kwa watangulizi wako.

By Chakaza/Jamii Forums

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad