JOHN Cheyo Apigilia MSUMARI "Rais Mwinyi Yuko Sahihi, Magufuli Anastahili Kuongezewa Muda wa Kuongoza

Kwa upande wangu pia nauungana na Rais Mstaafu Mwinyi na John Momose Cheyo pamoja na wananchi wengi wanaopenda Rais Magufuli afikiriwe zaidi ya awamu mbili za kuongoza. Rais Magufuli anafanya kazi iliyotukuta na kwa kasi ya ajabu... Huku mitaani mamillioni ya wananchi wanakubaki utendaji wa Rais Magufuli

JE WEWE Mdau Unamkubali?

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Asilimia elfu moja 1000%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%%

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad