KIMENUKA..Viongozi Sita wa America Kusini Wanadai Walipandikizwa Ugonjwa wa Cancer Na Marekani

Viongozi sita wa America ya Kusini inadaiwa waliuugua ugonjwa wa cancer kwa nyakati tofauti, inadaiwa viongozi wa nchi hizi za walipinga vikali sera za Marekani katika masuala ya kiuchumi na siasa. Aliyekuwa Rais wa Venezuela hayati Hugo Chaves aliwahi kutamka hadharani kuwa yeye binafsi alikuwa miongoni mwa viongozi waliopandikiziwa ugonjwa wa Cancer kupitia shirika la ujasusi la CIA Rais huyo alifariki kwa ugonjwa huo. Marehemu Hugo Chaves alidai alishawahi kuonywa na aliyekuwa Rais wa Cuba Fidel Castro kuwa ajihadhari sana kwani hawa Wamerekani walikuwa na teknologia ambayo ilikuwa rahisi kupandikizia mtu ugonjwa wa Cancer. Kuna viongozi wa kiafrika ambao nao walikufa vifo vya kutatanisha baada ya kuwa na msimamo dhidi nchi za magharibi kama aliyekuwa Waziri mkuu wa Ethiopia Menas Zenawi wa Ethiopia na Bingwa Mutharika wa Malawi na Rais Satta wa Zambia,. Aliyekuwa Rais wa palestina Yasser Arafat naye baada ya maiti kufanyiwa uchunguzi iligundulika naye alifariki kwa cancer ya kupandikizwa.

sources: Pravda News
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad