Mahakama Yakataa Ombi la Harbinder Singh Kutibiwa nje, Yasema Atibiwe Muhimbili


Mawakili wanaomtetea mfanyabiashara Harbinder Singh Seth wameiomba Mahakama imruhusu mteja wao akatibiwe nje ya nchi, kutokana na kuwa na uvimbe na Baloon tumboni hali inayomsababishia maumivu makali na kumnyima usingizi kwa wiki ya nne, ombi ambalo limekataliwa na Mahakama na kuagiza atibiwe Muhimbili

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad