MREMBO Sanchoka Kugeukia Kilimo cha Nafaka....


VIDEO queen mwenye umbo matata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ ameweka wazi dhamira yake ya kujitosa kwenye biashara ya kilimo cha nafaka mbalimbali.
Sanchi aliiambia 3-Tamu kuwa, hivi karibuni anafikiria kujiingiza kwenye kilimo am­bacho anaamini kina mafanikio makubwa ingawa wengi wa­naona ni kazi ya kishamba. “Urembo nauweka kando kwa muda kwanza ili ni­jikite zaidi kweye kilimo, nimeo­na kuna fursa kubwa ukizingatia warembo wengi wanachukulia kilimo kama biashara ya wa­shamba,” alisema Sanchi.

JE ATAWEZA KILIMO AU ANAZINGUA?
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad