Picha: AY Amvisha Pete Mpenzi Wake wa Muda Mrefu

Rapper Ambwene Yessayah maarufu kama AY ameonyesha kuwa amechoshwa na ukapela.


Msanii huyo Alhamisi hii ameamua kumvisha pete mchumba wake wa muda mrefu Remy, raia wa Rwanda ambaye ajabu amekuwa naye tangia mwaka 2008.


Kwa mara yakwanza AY amemtambulisha mpenzi wake huyo Disemba mwaka jana wakati wa birthday ya mrembo huyo.


Sherehe hiyo ilihudhuriwa na watu wa karibu na wawili hao. Kwa kitendo hicho tunatarajia kuiona ndoa ya Ay na mpenzi wake huyo sio nyingi.

Picha na Mx Carter
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad