Rama Dee (Kinega) Aomba Poo....Amaliza Beef na Ruge na Clouds FM

Baada ya beef na mvutano wa muda mrefu baina ya Ruge (clouds media) na msanii Rama dee sasa wameamua kuzika tofauti zao

Itakumbukwa Rama dee ni miomgoni mwa wasanii waliokuwa wanaendesha kampeni ya ant virus kuidiss clouds na kujiita vinega yaani wanaharakati, lakini mpaka sasa
yamekwisha, wamesahau yote na muda huu kinega yupo live XXL na b12, mchomvu na wengineo wanareview mziki wa album wake na story zote zilizowahi tokea kipindi iko


Hongera Ruge kwa kukubali kusamehe na kuendelea kusonga mbele licha ya matusi na mabango mengi waliyokumwagia vinega!

Hongera pia kwako Rama dee, umethubutu.


Hii itakua somo kwa wasanii kama akina Ruby, muziki si bifu!

By Mr swax
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad