TAKUKURU: Kurudisha Hela Hakukuondoi Kwenye Tuhuma, Sheria Kufuata Mkondo Wake

JF Jana  Wali- tweet kuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa au TAKUKURU kwa kifupi imesema kuwa mtu kurudisha hela aliyopewa iliyotokana na ufisadi au utakatishaji pesa hakumuondoi kwenye mashitaka.

Mnakumbuka jana Ngeleja alirudisha hela aliyopewa na Rugemalira kwa madai kwamba hakujua kuwa hela hiyo inatokana na ufisadi.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad