Usiogope Kukopa...Hizi Hapa Faida za Kukopa Katika Afya Zetu.....


Faida Za Madeni Mwilini..


1 .Kuchangamka Kwa Ubongo,Yaani Akija Anayekudai Unakuwa Umeshaandaa Majibu Mazuri Ya Kumpa Na Anaondoka Akitabasamu Bila hela

2. Kuwa Na Akili Nyingi, Maana Madeni Humfanya Mtu Aishi Kwa Wasiwasi Na Kama Mnavyojua Wasi Wasi Ndo Akili

3. Mazoezi Ya Viungo, Anayekudai Atajifanya Akulie Timing Saa Kumi Na Moja Alfajiri Kumbe Wewe Ushaaplan Utoke Saa Kumi Kumkimbia,


4. Madeni Huzuia Sound Pollution Yaani Hata Kama Umelewa Na Ulikuwa Ukiimba Nyimbo Njia Nzima Ukipita Mtaa Anaoishi Anayekudai Tu Unanyamaza Automatic Na Hata Ukifika nyumbani Pia Majirani Zako Wanapumua Maana Huwashi Kile Ki , Sabuufa Chako Pasua kichwa..


5. Kupungua Ama Kuzorota Ķwa Kitambi, Anayekudai Akikusakama Sana Nayo Sometimes Inapelekea Kuyeyuka Kwa Mafuta Yazungukayo Tumbo Hivyo Kiafya Unatengemaa.. Tukope jamani kudumisha afya zetu
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Duuuuuuh...nimeikubali hii. Asante ndugu mwandishi.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad