VIDEO Jinsi Zitto Kabwe Alivyokutana Live Bila Chenga na Rais Magufuli na Alichoongea

Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe kupitia chama cha ACT Wazalendo alipata nafasi ya kuongea mbele ya Rais Magufuli aliyekua kwenye mkoa wa Kigoma kwa ziara.

Zitto Kabwe mbele ya Rais Magufuli alisema “Mh. Rais mwenyewe ulishuhudia watu walivyokua barabarani kuanzia njia panda ya Mwandiga mpaka unaingia IKULU ndogo, watu wa Kigoma wanataka maendeleo na wewe unatuletea maendeleo ndio maana wanakupenda”

“Mh. Rais jambo moja tu kwamba mradi huu ni kweli umechelewa lakini toka umeingia madarakani, wizara yako, wizara ya maji, Waziri na Watendaji wa wizara wamefanya kazi kubwa sana kuhakikisha kwamba tunauokoa huu mradi”
VIDEO:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad