VIDEO:Sumeye akishushia tuhuma CCM, Kubenea Alaa Sahani Moja na Sakaya

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Pwani Frederick Sumeye amekituhumu Chama Cha Mapindu CCM kuwa kinaratibu Mpango wa Kivuia vyama vya upinzani Nchini.

Wakati huo huo Kaimu Mwenyekiti wa Kanda Saed Kubenea ameeleza kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF  Bi Magdalena Sakaya sio Mwanachama halali wa CUF

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad