Zimbabwe yatwaa Kombe la Cosafa


Timu ya Taifa ya Soka ya Zimbabwe imetwaa ubingwa wa mashindano ya COSAFA2017 baada ya kuifunga Zambia mabao 3-1


Magoli ya Zimbabwe yalitiwa wavuni na  22' K. Mutizwa, 57' T. Chawapiwa pamoja na 67' O. Mushure

Huku goli moja la Zambia kifungwa na 39' L. Mundia
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad