Diamond Platnumz, Ababuu, Msami na Jaquar Walishatoka na Irene Uwoya..Mumewe Afichua Siri

Aliyekuwa mume wa muigizaji wa filamu nchini Irene Uwoya, mchezaji Hamad Ndikumana kutoka nchini Rwanda amefunguka mambo kibao ya moyoni kuhusu ndoa yake na mrembo huyo ambapo kwa sasa ameweka wazi dhamira yake ya kumpa talaka.

Ndikumana ametumia mtandao wa Instagram kueleza madudu yote yalikuwa katika ndoa yake huku akiwataja wasanii maarufu kuingilia ndoa yake.

Unasema sina aibu kuandika hayo mitandaoni, wewe uliona aibu kuwa kwenye mahusiano na msami mnyaka miwili ukiwa ndani ya ndoa ? mara ngapi nilikuuliza kuhusu huyo mtu ukalala chini eti uongo ? Mara ngapi nilikuuliza kuhusu kulala na Diamond ukaapa kufa ? ila mwisho wa siku mwenyewe kasema kwanini ilifanya vile. Mimi kama mjinga nilikutetea sana tena baada yako kuwaambia magazeti eti nimezimia kitu ambacho sijawahi kukanusha ila leo nakikanusa sijawahi kuzimia maishani mwangu…

Irene unakumbuka nilikuwa nilivyokuwa taabaaani karibu kufa huku upo mozambike unatanua na Ababuu hata ujali nataka kufa ? Na uliporudi hata ukutaka kuniona,but sikushaanga kwavile nilikuwa najua wewe ndo uliyofanya yote.ulikuja Rwanda kuniona baada ya kuondoka siku mbili yakaja ya JAGUAR ?…

Hayo ni machache kati ya mengi mno aliyoandika Ndikumana, wawili hao walifunga ndoa mwaka 2009 wakati mchezaji huyo akicheza soka hapa nchini, katika ndoa yao wamejaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume aitwae Krish.

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. pole sana Ndikumana hili liwe somo kwa wanaume wote kwanza huyu irene sio mkweli kabisa kwa sababu tunamuona kabisa na ushahidi uko na akiulizwa ana kanausha sijui anajiona na nini anajitoa fahamu kama ni uzuri mbona wako wengi tu achana nae na wewe unamchelewesha mpe mitalaka kumi amesha zoea kila rangi kila design kila saizi

    ReplyDelete
  2. pole sana kaka. wanawake wa kibongo ndivyo walivyo hawaridhiki na mwanaume mmoja

    ReplyDelete
    Replies
    1. usiwatukane sio wote wanawake wakiBongo.ila wenye tamaa ya pesa.lakini alietosheka na mumewe hata maskini anabaki na huyo huyo.kwani mihogo yote sawa tu ila pesa ndio haziwi sawa.

      Delete

Top Post Ad

Below Post Ad