Diamond Platnumz Kwa Hili Ulilolifanya Una Deni Kubwa Kwa Ali Kiba.......

Habari zenu wadau,nianze na kilichonileta hapa,,,Diamond platnumz unatakiwa ujue kuwa kwasasa una deni kubwa sana kwa kinachoendelea sasahivi na huu upepo wa TSUNAMI wa SEDUCE ME ya KING ALIKIBA,,kama tunavyoona wewe umeonekana ndo looser kwenye huu mpambano japo ulianza vizuri na kilicho kuharibia zaidi target yako ni ngoma ya ZILIPENDWA..

-Rekodi yako ya youtube imevunjwa..
-Watu wanakuponda.
-Umeongeza kejeri kwa uchokozi wako..

Kitu kitakachokuweka salama ni kuvunja rekodi ya video mpya ya Alikiba tena ambayo imetazamwa mara 1000000 ndani ya saa 38 tu..

Kwahiyo jipange maana siyo kitu cha mchezo mchezo..Maoni yenu wanajukwaa..
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad