Hivi Ndivyo Panya Walivyosababisha Rais wa Nigeria Kuhama Ofisi

Hivi Ndivyo Panya Walivyosababisha Rais wa Nigeria Kuhama Ofisi
Baada ya kurejea siku ya Jumamosi akitokea nchini Uingereza, alipokuwa akipatiwa matibabu kwa muda wa miezi mitatu Rais wa Nigeria Muhammed Buhari anatarajiwa kuhamisha ofisi yake kwa kuwa imeshambuliwa na panya.

Kufuatia hali hiyo Buhari atalazimika kufanyia kazi nyumbani kwake kwa muda wa wiki tatu, mpaka hapo matengenezo ya kiyoyozi pamoja na fanicha kukamilika.

Msemaji wa rais amesema kuwa kitendo cha rais huyo kuhamisha kazi zake nyumbani hakita athiri utendakazi wa kiongozi huyo kwa njia yoyote.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad