Huyu Hapa Miss Dar Indian Ocean Aliyeshinda Taji Hilo



Huyu Hapa Miss Dar Indian Ocean Aliyeshinda Taji Hilo
Msomi wa Chuo Kikuu cha Ardhi kilichopo Mlimani jijini Dar, Stellah Ernest, usiku wa kuamkia leo ameibuka mshindi wa taji la Miss Dar Indian Ocean katika kinyang’anyiro kilichofanyika Ukumbi wa New Msasani Club jijini Dar.



Huyu Hapa Miss Dar Indian Ocean Aliyeshinda Taji Hilo
Stellah alivishwa taji hilo baada ya kuwabwaga wenzake 15 katika mavazi ya ubunifu, jioni na ufukweni. Sambamba na mavazi alionesha umahiri wa kujieleza kwa ufasaha na kuonesha upeo mkubwa alionao.




Akizungumza na baada ya mshindi huyo kutangazwa, Mkurugenzi wa Grace Entertainment, Catherine Ambakisye ‘Mama Rolaa’ alisema mshindi huyo alikuwa na haki ya kutwaa taji hilo kutokana na vigenzo mbalimbali alivyowazidi wenzake siku zote walipokuwa kambini.



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad