Madee Awapigia Magoti Jack Wolper na Lulu Michael Kwa Kuwatengeneza Katuni Bila Ruhusa yao...

Msanii wa muziki Madee amemuomba radhi Jacqueline Wolper baada ya kumhusisha kwenye video yake ya wimbo ‘Sikila’ bila makubaliano. Pia rais huyo wa Manzese amedai yule anayeonekana akicheza na Tekno ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye anadaiwa kuwa karibu na muimbaji huyo mahiri kutoka Nigeria.

VIDEO:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad