Mgogoro wa Prof Lipumba na Maalim Seif hautaiacha CHADEMA salama

Lipumba ameshinda kesi ya akina Maalm kibatara na Lissu..

Kwa maneno halisi AMEUBWAGA UKAWA...

Nachekaaaa....hata kama Kipumba wanamwita manina yootee....mimi nilishaa sema toka mda ule kua UKAWA hawana uwezo wa kushinda kesi hii...Na sasa Lipumba anatoka na nguvu mpyaa. Anaanzakuchukua Ruzuku iliyofungiwa na MAALM na wenzake....kifo hiki ni matanga yanayo anuliwa leo tokea KIFO CHA UKAWA miaka miwili iliyo pita!

Kwa Bahati mbaya wengi hawajui...CDM hawapiganii UKAWA ila wanampigania MAALIM hii nikete ya CDM ili iweze kuingia VISIWANI... sio mda mrefu. Kwa taarifa nilizo nazo mkononi....MAALM anajiunga CHADEMA na anapewa UONGOZI mkubwa tuu ili iwe Daraja la kukubalika kwa Cdm...na maalm atagombea ZANZIBAR ....

wanachama wa CUF hawaja jua hadi leo...ugomvi huu ni wa CDM NA CCM...Uwanja wa VITA umechaguliwa uwe CUF... Hapa kinacho gombaniwa ni VISIWA VYA ZANZIBAR...
wana CUF wanaweza kuamua kusimama wenyewe. Bila ccm wala cdm wakaweka mikakati yao wakafunga milango ya kuingia CCM NA CDM hakika wange jinusuru na chama chao.....leo sio mda wanachama wata gawanyika makundi haya...Baada ya Maalm kujiunga na CHADEMA wanachama wengine watamfuata Maalim Cdm na wengine wata Bakia CUF. Nawengine waenda Act wazalendo na wengine wataenda CCM wapo pia watakao amua kuacha SIASA hawa wa kuamua kuacha siasa wata kua wachache wataamua mwa mda kwa ajili ya Hasira lakini kabla ya uchaguzi wa 2020 watarudi kwenye vyama...

Huu mgogoro pia hauta iacha salama CHADEMA...baada tuu ya Maalmu sef kujiunga Cdm na kupewa Uongoz mda mfupi ...ndipo wanachama wenye mapenzi na CUF watapata akili na kujua nani amekua mchichezi wa mgogoro huu...na wanao Zuia Maalm aspatane na IBRAHIM LIPUMBA ni Cdm. Kwa kua Cdm wanaamini Lipumba msimamo wake hataki kuamini juu UKAWA NA LOWASSA...lipumba alikataa mapema na alitoka CUF juu ya ujio wa Lowassa...Cdm Aliye kua mgombea U Rais mwaka 2010 na KATIBU MKUU Dr Slaa alimua kuachana na cdm na kuacha Siasa hii yote ni kwa Ajili ya ujio wa Mzee Lowassa aliye aminishwa na chadema kua Lowassa alikua Fisadi wa nchi namba 9 Cdm walitumia garama kubwa sanaa kutangaza mafisadi akiwemo mzee Lowassa...

Ngoja tuone nini kitaendelea kuelekea 2020.....

Tujadili pamoja

By Francis Jackson/JF
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad