Odama Afunguka Sababu ya Kutofanya Sherehe Kubwa Siku Yake ya Kuzaliwa

Odama Afunguka Sababu ya Kutofanya Sherehe Kubwa Siku Yake ya Kuzaliwa
STAA wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa hakuweza kufanya sherehe kubwa kwenye siku yake ya kuzaliwa kwa sababu anaona kufanya hivyo ni kama utoto.

Akizungumza na Amani, Odama alisema ameamua kutofanya kitu kubwa mpaka atakapokuwa mzee, itakuwa na maana kubwa kuliko kufanya kila mwaka.

“Huwezi amini yaani hata kama zamani nilikuwa nafanya hivyo basi nilikuwa bado akili yangu haijachangamaa kabisa lakini mambo ya sherehe kubwa nitafanya nikiwa mzee kwa sasa tena hapana,” alisema Odama ambaye bethidei yake ni Agosti 26.
Stori zinazo husiana na ulizosoma



Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Just found a search engine of all Japanese used car exporters, including BE FORWARD and etc. All your used cars at one place on JUCSE! The best way to find and buy cheap cars from Japan! Right at https://www.japanese-used-car.com/

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad