Povu Hili la Bella Alijamuacha Wolper na Wenzake Salama


Povu Hili la Bella Alijamuacha  Wolper na Wenzake Salama
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Issabela Mpanda au Bella Fasta amewatolea povu wasanii wenzake wa kike wenye tabia ya kupenda kuwa kwenye mahusiano na wanaume wanaowazidi umri, na kuwaambia kuwa hawajielewi


Akizungumza na mwandishi wetu, Bella Fasta amesema wasanii hao wanapenda ku 'fake' maisha, na ndipo wanapoangukia kwenye mambo ya kutia aibu, licha ya matukio mbalimbali  waliyoipitia kwenye mahusiano yao siku za nyuma.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad