Raif Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine wa Kamishina wa Oparesheni ya Kupambana na Madawa ya Kulevya

Raif Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine wa Kamishina wa Oparesheni ya Kupambana na Madawa ya Kulevya
Rais Magufuli amteua Luteni Kanali Frederick Felix Milanzi kuwa Kamishna wa Operation wa Mamlaka ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya.

Luteni Kanali Frederick Felix Milanzi anachukua nafasi ya Bw. Mihayo Msikela ambaye amerejeshwa Makao Makuu ya Polisi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad