Rais Magufuli Afanya Ziara Ofisi za TAKUKURU Makao Makuu

Rais Magufuli Afanya Ziara Ofisi za TAKUKURU Makao Makuu
Ulinzi umeimarishwa katika ofisi za makao makuu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) zilizoko Upanga, jijini Dar es Salaam huku ikielezwa kuwa Rais John Pombe Magufuli anatembelea ofisi hiyo.

Saa 3:17 asubuhi yaleo Agosti 28, msafara wenye magari yapatayo 10 uliingia katika ofisi hiyo.

Katika kuimarisha ulinzi,barabara zinazoingia kwenye ofisi hiyo nazo zimefungwa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad