Rais Magufuli Akutana na Rais wa JICA

Rais Magufuli Akutana na Rais wa JICA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akutana na Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA), Shinichi Kitaoka Ikulu Dar es saalam. Ambapo Rais huyo wa JICA amempongeza Rais Magufuli kwa kupambana na rushwa na msukumo mkubwa anaouleta wa kupambana kuleta maendeleo hususani kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad