Roma Mkatoliki: Nimechoka Kukaa Zimbabwe Nimeridu Sasa......

Rapa Roma Mkatoliki ambaye alikuwa amepiga kambi kwa Robert Mugabe nchini Zimbabwe amerejea nchini tayari na kusema amechoka kukaa huko alikokuwa hivyo ameamua kurejea nchini Tanzania kwa Rais Magufuli ili awe karibu na familia yake.

Roma anasema alimtuma mkewe aweze kumuwakilisha katika kuachia kazi yake mpya Zimbabwe anadai sasa amerudi hivyo sasa kazi yake ni kupita kila Radio na Television ili aweze kuongea na watu wake na kuwaeleza maana halisi ya Zimbabwe.

Mtazame hapa Roma akifunguka zaidi
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad