Serikali Yakanusha Kumpa Tundu Lisu Siku 7

Serikali Ya kanusha Kumpa Tundu Lisu Siku 7
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni kwamba imempa siku 7 Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu kuomba radhi kwa kupotosha umma.

Msemaji wa serikali ametoa taarifa akisema kuwa taarifa hizo si za kweli, kwani hata mtu aliyetumika kuandika hiyo taarifa yupo msibani



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad