Simba Waliamsha Dude Mbele ya Yanga....Waichapa Mabao na Kuchukua Ngao ya Jamii

Timu ya Simba imeibuka mshindi kwenye mchezo wa kufungua michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara (Ngao ya Jamii) baada ya kuifunga Yanga SC kwa penati 5-4.

Mchezo huo uliokuwa mkali na wa kusisimua huku kukiwa na upinzani mkubwa baina ya mahasimu hao wa jadi, ulimalizia kwa sare ya bila kufunga ndipo timu zote zikaenda matuta.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad