Tanzania Hatuna Bahati...Tumeshuka Tena Viwango vya Mpira FIFA.......

SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa), jana Alhamisi lilitoa viwango vya soka vya mwezi Julai kwa mataifa mbalimbali ambapo Tanzania imeshuka kwa nafasi sita kutoka 114 ya hadi 120.

Wakati kimataifa Tanzania ikishika nafasi ya 120, kwa upande wa Afrika ipo nafasi ya 35, huku ikiwa ya nne katika Ukanda wa Afrika Mashariki ambapo Uganda inaongoza ikifuatiwa na Kenya, kisha Rwanda na Burundi inaburuza mkia. Katika nafasi kumi za juu kwenye orodha hiyo, Brazil inaongoza ikifuatiwa na Ujerumani, Argentina, Uswizi, Poland, Ureno, Chile, Colombia, Ubelgiji na Ufaransa inahitimisha.
Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. SIO BAHATI.NI HATUJUI KUCHEZA.USIPOFAULU MTIHANI USISEME BAHATI.

    ReplyDelete
  2. You delivered such an impressive piece to read, giving every subject enlightenment for us to gain information. Thanks for sharing such information with us due to which my several concepts have been cleared. https://thevang.tv/highlight.html

    ReplyDelete
  3. Pretty good post. I just stumbled upon your blog and wanted to say that I have really enjoyed reading your blog posts. Any way I'll be subscribing to your feed and I hope you post again soon. Big thanks for the useful info. https://thammyvienphukhang.com/

    ReplyDelete
  4. Thanks for a very interesting blog. What else may I get that kind of info written in such a perfect approach? I’ve a undertaking that I am simply now operating on, and I have been at the look out for such info. คาสิโนออนไลน์ มือถือ

    ReplyDelete
  5. I appreciated your work very thanks 먹튀검증업체

    ReplyDelete
  6. Nice post mate, keep up the great work, just shared this with my friendz trực tiếp bóng đá hôm nay

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad