Uhuru Kenyatta Pao Sana..Asema Ruksa Kuandamana wa Wasioridhishwa na Matokeo..Aamuru Polisi Wasizuie

HABARI: Rais Mteule wa Kenya, Uhuru Kenyata asema wananchi wanaruhusiwa kuandamana kwani ni haki yao kikatiba...amewaamuru Jeshi la Polisi kuacha kutumia nguvu kupita kiasa...ila Serikali haitavumilia watakaoharibu mali za umma.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad