Video: Baby Madaha Afunguka Kisa Cha 'Jini Kabula' na Kuugua Kwake Ukichaa

Video: Baby Madaha Afunguka Kisa Cha 'Jini Kabula' na Kuugua Kwake Ukichaa

Msanii wa muziki wa bongo fleva, Baby Madaha amefunguka sababu zilizopelekea msanii Jini Kabula kupatwa na matatizo na kusema kuwa Jini Kabula aliamua kuachana na muziki wa dunia na kuanza kufanya muziki wa Mungu.

Baby Madaha anasema msanii huyo alipojitoa kwenye kundi lao la Scorpion girl alipata rafiki mwingine ambaye walikuwa wakishirikiana katika mambo yao na kusema mpaka anapatwa na matatizo hayo walikuwa ni marafiki lakini cha ajabu rafiki yake huyo na Jini Kabula alikuwa anaficha juu ya ugonjwa wa Jini Kabula.

Tazama Video hapa kufahamu mengi zaidi kutoka kwa Baby Madaha na Isabela

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad