Video: Madee Amemchana Tena Nay Wa Mitego

Msanii wa Bongo fleva kutoka kitaa cha Manzese ambaye ndiye anayetambulika kama Rais wa Manzese, Madee, amemchana mwenzake kutoka kitaa hicho, Nay wa Mitego kwamba yeye ni raia wa kawaida na hana uwezo wa kuwa Rais wa Manzese

Katika mahojiano maalumu na mtandao wa Muungwana Blog msanii Madee aliamua kujibu kwa kusema " Sijawahi kuwa na matatizo na mtu yoyote, Nay ni mdogo wangu kabisa amekuwa ninamuona, kwa hiyo ni Nay ninamuona raia wangu mwema kama wengine wanaoishi mnzese"

TAZAMA FULL VIDEO HAPO CHINI

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad