Video: Tundu Lissu Afunguka Mkojo wa Wema Sepetu Kupokelewa Mahakamani

Wakili wa malkia wa filamu nchini Wema Sepetu, Tundu Lisu ameongea na waandishi wa habari Ijumaa hii mahakamani Kisutu baada ya Hakimu Thomas Simba kuupokea na kuukubali ushahidi wa mkojo wa muigizaji huyo ambao ulipimwa na Mkemia Mkuu wa serikali na kukutwa na chembe chembe za dawa za kulevya aina ya Bangi.

 VIDEO:


Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Siku ya Leo Ingia >>www.ajirayako.co.tz
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad