Ali Kiba Kufunguka Kuusu Kuachia Wimbo Wake Mpya

Ali Kiba Kufunguka Kuusu Kuachia Wimbo Wake Mpya
Msanii Alikiba ameweka wazi mipango ya mkongwe wa muziki Abby Skillz, kuwa muda si mrefu atakuja na ngoma yake mpya baada ya ngoma yake ya 'Averina' ambayo alikuwa ameshirikishwa yeye pamoja na Mr Blue ambayo ilitoka mwaka jana.

Alikiba
Alikiba amesema hayo wakati akimpa pongezi mkongwe huyo baada ya kufanikiwa kufunga ndoa jana na mchumba wake Andoya khalifa Mrimi.
"Hongera mkongwe nakutakia kheri na mafanikio katika ndoa yako na ngoma mpya inafuata" aliandikwa Alikiba kupitia katika mtandao wake wa Instagram

Abby Skillz ni kati ya wasanii ambao walidaiwa kuwa chini ya usimamizi wa Alikiba kupitia 'Label' yake ya King's Music ambapo Alikiba aliwahi kusema kuwa baada ya kuachia wimbo wake mpya ambao ni 'Seduce Me' alisema baada ya hapo utakuwa ni wakati wa wasanii waliopo kwenye Label yake hiyo kutoka na ngoma zao pia.
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. wow we are waiting i am sure its gonna be a heat you know what i mean ooh i like Ali kiba his music is mwa

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad