BREAKING NEWS: Gazeti la Mwanahalisi Lafungiwa na Serikali

BREAKING NEWS: Gazeti la Mwanahalisi Lafungiwa na Serikali
Serikali kupitia Idara ya habari maelezo imelifungia gazeti la Mwanahalisi kwa muda wa miaka miwili kwa kosa la kukithiri kwa kuandika habari zinazokiuka maadili ya taaruma hiyo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad