Cannavaro Amfuata Manji Mahakama ya Kisutu..Kunani?

Baada ya kutinga mahakamani hapo, Cannavaro alimuwahi Manji na kusalimiana naye kisha kupiga kuzungumza mambo machache ambayo hata hivyo haijajulikana kama walikuwa wakijadili mambo ya soka kuhusu klabu hiyo au la!

 Klabu ya Yanga imekuwa ikiongozwa na Manji kwa miaka mingi ambapo baada ya kushtakiwa na kuwekwa rumande kwa miezi kadhaa kabla ya wiki iliyopita kuachiwa huru kwenye kesi ya uhujumu uchumi.

VIDEO:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad