Diamond Ajipiga Moyo Konde na Kumtumia Zari Ujumbe Huu...Afunguka ni Kwanini Anampenda


Ujume Kutoka kwa Diamond kwenda kwa Zari Asubuhi ya Leo:

"Uzuri na Urembo pengine ningetembea nikakuta baadhi wanao pia... Lakini Akili, Hekma, pamoja na Roho yako ya kwenye Shida na Raha kwangu ndio kitu pekee kinachonifanya nikupende na kukuthamini zaidi kadri siku zinavyozidi kwenda...... wanaposema kwenye kila Mafanikio ya Mwanaume kuna Mwanamke imara nyuma, hawamaanishi eti anaepika na kuosha vyombo sana ama kufua nguo kila siku... Hapana! ni mwanamke Mwenyekuwa bega kwa bega na Mpenzie kwenye Shida na Raha... Happy birthday General"

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad