Fid Q Namba Nyingine Kabisa Hakuna Wimbo Wake Nisio Ujua- Wolper

Fid Q Namba Nyingine Kabisa Hakuna Wimbo Wake Nisio Ujua- Wolper
Muigiza wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameeleza mahaba yake ya kimuziki kwa rapper Fid Q.

Akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio Wolper amesema amekuwa akifuatilia muziki wa Fid Q toka mwanzo msanii na huyo hajawahi kutoa wimbo kwake ukawa mbaya.

“Fid Q namba nyingine kabisa, namba chafu yaani ni mtu ambaye namkubali sana, nina ngoma zake toka anaaza muziki hadi ya jana Fresh,” amesema Wolper.

“Hakuna wimbo wa Fid ambao siujui na ambao siupendi napenda ngoma zake zote, sijawahi kuchukia ngoma yake hata moja na ninafikiri actually anajua,” ameongeza.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad