Hii Hapa Habari Njema Kuhusu Tundu Lissu Akiwa Hospitalini Jioni ya Leo

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa jioni hii na Mkuu wa Idara ya Uenezi ya CHADEMA, Hemedi Ali kutoka Nairobi Kenya ambapo Tundu Lissu amelazwa zinasema kuwa kiongozi huyo ametolewa salama katika chumba cha upasuaji baada ya masaa 7 na kudai upasuaji umefanyika kwa mafanikio.

"Mh Tundu Lissu ametolewa salama katika chumba cha upasuaji baada ya Masaa 7 tangu saa nne asubuhi hadi sasa saa kumi na moja jioni na upasuaji umefanyika kwa mafanikio hivyo yupo 'Executive ICU' kwa uangalizi wa karibu zaidi. Na tunawahakikishia kuwa madaktari wametueleza hakuna tishio lolote kiafya yuko macho na fahamu zote na hii ndio ilikuwa hatua ngumu na Mungu ametupitisha hivyo tuendelee kumuombea apone haraka" aliandika Hemedi Ali
Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. nAKUMBUKA WAKATI WA MJERUMANI ANAONDOKA TANZANIA YETU. ALITUACHIA MABOMA MENGI.
    ALIVYOKUJA MGELEZA WAKAANZA KUTUFUNGULIA SHULE AMBAZO KITU CHA KWANZA WALIKUWA WANASISITIZA
    HELLER IS NO MORE ITS SCHILLING ( KUONESHA NEW SHERRIF IN TOWN)
    NNACH KUMBUKA VIZURI SANA NA MPAKA LEO NNAWAKANYA VIJUKUU NA VITUKUU NI HILI LA HAPA CHINI TOKA KWA MR TURNBULL (MWALIMU WANGU/WETU) USED TO WARN US.

    MIND YOUR TOUNG
    AS IT WILL LEAD TO YOUR ACTIONS
    AS SUCH IT WILL BE YOUR BEHAVIOUR
    HENCE YOUR SELF CHOSEN DESTINY.
    SO ALWAYS BE CAREFUL ON WHAT YOU UTTER AND THE AUDIENCE YOU TARGET.
    WATANZANIA TUNAHITAJI UZALENDO WA HALI YA JUU NA UPENDO.
    MUNGU LIBARIKI TAIFA LETU NA VINGOZI WAKE WENYE UCHUNGU NA NCHI YETU.
    NA UMEPE UMURI MREFU BABA JPM KUTUTUMIKIA NA KUILETA TANZANIA MPYA.

    ReplyDelete
  2. Freedom of speech.one sided moani yako. What Tundu and opposition have done, thats what oushed Magufuli. Stop praising one human being who takes everyone's credits. There are many other people who have done as much if not more. And that does not justify any assassination of any human being. Its ccm his party which took and brought Tanzania down. So what happened to those two presidents?. Rich country, bad and poor leadership and plenty of corruptions which hurts the country economy. How do you justify that. I dont like of those colonies examples you are using.sorry. bring the new constitution. No one person can make all decisions, they must be a function and procedures to follow which are legal and accepted by the people.commands dont work. Force dont work. Killings don't wok. Education, and good laws to govern always bring good results.

    ReplyDelete
  3. Magufuli need people like Lisu. Magufuli comes from the ruling party , the same brought these mess. He need to bring the new katiba to stop whats has been done by his previous time. Otherwise we see the same problems repeat itself. One person can not change the country. He need to form a partnership with the oppositions instead of treating them as criminals. The whole system need to change or go. We are dealing with the same people who brought us down.And killing will just ignite the fire is not the solution.It need high common sense to deal and handle this problem. The only smart man I see with common sense is from CCM is Bashe.the only . The majority are either direct or indirect were part of the problems which makes them also nervous and are either shaken and afraid, or silent.

    ReplyDelete
  4. Hey you there...!!!! Stop they way you want to portray my Prez.
    I you do not appreciate what he is doing for you and me ( The country and its people)
    Then you better keep quite and shout your Mouse.
    Magufuli's Intention and Action towards Corruption and Development of the country
    Theres no Doubt He is Doing His Very Best and we need to cooperate and support him to achieve
    and attain the Goals. Especially at this TIME.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad