Hivi Hapa Viingilio Mechi ya Simba na Azam

Hivi Hapa Viingilio Mechi ya Simba na Azam
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania ‘TFF’ limetaja viingilio vya mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara baina ya timu ya Simba SC dhidi ya Azam FC mchezo utakao chezwa katika dimba la Azam Complex Septemba 9 mwaka huu.

Katika duru la kwanza la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania ‘VPL’ Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, ilianza na ushindi mwembamba baada ya kuichapa NdandaFC  bao 1-0, katika mtanange uliyochezwa katika dimba la Nangwanda Sijaona.

Wakati Simba SC wao wakianza msimu vyema baada ya kuichapa mabao 7-0 Ruvu Shooting huku mchezaji wao raia wa Uganda, Emmanuel Arnold Okwi akifunga manne kati ya hayo.






Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad