Kahaba wa Kizungu Afikishwa Katika Mahakama ya Kisutu Leo

Kahaba wa Kizungu Afikishwa Katika Mahakama ya Kisutu Leo
MWANAMKE Mzungu anayejulikana kwa jina la Monique Honsbeek anayedaiwa kufanya ukahaba katika Jiji la Dar es Salam leo amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Victoria Nongwa na kusomewa shitaka moja la kuishi nchini bila kibali.

Mtuhumiwa amekana shitaka hilo  na akasaini  bondi ya dhamana ya Sh. milioni moja na wadhamini wawili wa Tanzania.  Kesi yake imeahirishwa hadi Septemba 27 mwaka huu.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad