Kampeni ya Upimaji Afya Bure Iliyoanzishwa na RC Makonda Yaanza Leo

Kampeni ya Upimaji Afya Bure Iliyoanzishwa na RC Makonda Yaanza Leo
Zoezi la Upimaji wa Afya Bure kwa muda wa siku tano limeanza Jumatano hii kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam ambapo baadhi ya wananchi wamewahi kwenye viwanja hivyo tokea saa 10 Usiku.

Mwamko huu ni baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kutangaza zoezi la Upimaji bila Malipo.

Madaktari bingwa na Wauguzi kutoka Hospital za Umma,Jeshi na zile za Watu Binafsi wanaendelea na zoezi la Upimaji kwa Wananchi.

Katika Upimaji huo Mwananchi atakaepimwa na kubainika kuwa na matatizo ya kiafya atapelekwa Hospital na kupatiwa Matibabu Bure. Picha za watu waliojitokeza.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad