KUHUSU Tundu Lissu: Wema Sepetu, Diamond na Wengie Wamuandika

Jana Sept 7, 2017 Mbunge Tundu Lissu alivamiwa na watu wasiojulikna na kisha kujeruhiwa kwa risasi, sasa mastaa na watu maarufu mbalimbali wameguswa na tukio hilo na kuamua kuandika ujumbe kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.

Miongoni mwao ni Diamond Platnumz, Wema Sepetu, Nay wa Mitego, Shilole na wengine.

Bonyeza Play hapa kupata taarifa kamili…

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad