Martini Kadinda Amtaja Mpenzi Wke Kwa Mara ya Kwanza

Martini Kadinda Amtaja Mpenzi Wke Kwa Mara ya Kwanza
Mbunifu wa mavazi wa hapa bongo ambaye ameshawahi kujinyakulia tuzo mbali mbali kwa ubora wa kazi zake, kwa mara ya kwanza ameweka wazi mahusiano yake ya kimapenzi ambayo yalikuwa siri kwa kipindi kirefu.

Akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Martin Kadinda amesema kwa sasa yuko kwenye mahusiano na binti mmoja ambaye ni mjasiriamali mkubwa na kuahidi wadau wake muda muafaka ukifika watarajie kumfahamu kwa sura.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad