Polisi Wanamsaka Mwanamke Anayejisaidia Hadharini....

Polisi nchini Marekani wanamsaka mwanamke mkimbiaji ambaye amepewa jina la ‘mchafuzi kichaa’ kwa kuwa anatabia ya kijisaidia haja kubwa nje ya nyumba za watu.

Mwanamke huyo amekuwa akiacha kinyesi chake nje ya nyumba za watu kwa zaidi ya mara saba kwa wiki za hivi karibuni ,licha ya kwamba kuna vyoo vya umma karibu.

Inawlezwa kuwa watoto wa jirani walimuona mwanamke huyo wakati alipokuwa akijisaidia,akiwa amechuchumaa karibu na nyumba Colorado.

Idara ya polisi mjini humo imesema kuwa tabia ya aina hiyo ni ya “ajabu”.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad