Rais Kenyatta: Uamuzi wa Kufuta Matokeo ya Uchaguzi ni 'Mapinduzi ya Mahakama'

Rais Kenyatta: Uamuzi wa Kufuta Matokeo ya Uchaguzi ni  'Mapinduzi ya Mahakama'
Rais wa kenya Uhuru Kenyatta ameutaja uamuzi wa kufutilia mbali matokeo ya uchaguzi wa urais kuwa ''mapinduzi ya mahakama''.

Viongozi hao wawili walikuwa wakijibu uamuzi kamili wa mahakama ambapo majaji wa mahakama ya juu walitoa sababu zao kwa nini walifutilia mbali matokeo hayo ya urais.

Idadi kubwa ya majaji hao walisema kuwa matokeo hayo hayakuwa na 'uwazi wala kuhakikiwa'.
Viongozi hao wawili hatahivyo waliangazia uamuzi wa majaji wawili waliopinga uamuzi hao ambao walisema kuwa kesi iliowasilishwa katika mahakama hiyo haikuwa na uzito wowote.
Rais Kenyatta alisema kuwa hakuna uchaguzi usikumbwa na makosa madogo madogo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad