Rais wa TFF Amteua Msafiri Mgoyi Kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu

Rais wa TFF Amteua Msafiri Mgoyi Kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu
Rais wa TFF, Wallace Karia ameteua Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu Bara ambayo itakuwa inachagua wachezaji bora wa mwezi, bao bora, mwamuzi bora, kocha, kipa bora na mchezaji bora wa msimu.

MWENYEKITI
Msafiri Mgoyi

Makamu Mwenyekiti
– Almas Kasongo

KATIBU MKUU
-Amiri Mhando

WAJUMBE
Saleh Ally
Patrick Kahemele
Kenny Mwaisabula
Ibrahim Masoud
Fatma Likwata
Gift Macha
Said George
Zena Chande
 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad